Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .
Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.
Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.
Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song . I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .
Isaiah 40:12-13 [12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance? [13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?
Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno
Nyimbo nzuri sana, I wish mrecord tena hizi video katika HD quality. Bado mnaweza mkarecord hizi nyimbo na zikauza sana. Sijawahi kuchoka kuzisikiliza. Mbarikiwe sana!
Tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane 🔥🔥🔥
Locked
Am here
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Niko hapa sanaaa ❤
Naisikilizanga daily
It sounds as if it was sang yesterday. & We are in 2024 D k from Kenya baraka Tele kwenu ❤
Jamn 2023 nani anazikubarii hz ngoma,,nipe like zangu
Tupo pamoja 🔥
Hizi ndio zilikua kwaya za kweli sio za kisasa 🎉❤❤❤❤
❤
😊😊@@johnjoycemalusu4886
Hizi nyimbo haziwezi kuchuja kabisa
Ni 2023 kwaya hii ni nzur sana ina dumu Zaid na zaidi rudini tena ❤❤❤
2024 nakutukuza Mungu
Ndungu zetu kutoka Tanzania wamebarikiwa na kipawa cha utuzi wa nyimbo za injili.utukufu kwa bwana 🎉
Nabarikiwa sana kusikiza huu wimbo
❤❤❤kwa bora sana upande wangu mm😢😢 2025 tuombean afya njema na tmkmbke mwenyenz mungu kla wakat
Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu zote. Mungu awabariki sana kwa kweli. Naomba muweke download
Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.
Innp.
P
Please let me download
Wenye tunaskiliza 2025january still my best song💯💯
Tanzanias you are wonderful people in all respects, I love your choirs and the presentation by your handsome and beautiful brethren
Huu na mojawapo ya nyimbo ambazo hunituliza nafsi yangu kwelikweli. Jina la Bwana na lipewe sifa milele na kila kiumbe lililo hai!
Nampenda huyu dada kwa kweli anasauti nzuri org nakupenda sana ,sijui jina anaitwa nani
Mungu amewapa kitu cha tofauti Sana hawa wandugu Yesu awabariki Sana wazidi kukua na kuongezeka kiroho na kimwili❤❤❤
Africa nzima hakuna kwaya iliyoimba kwa kufata maandiko ya Biblia kama hii.hii ni kwaya jamani🙏🙏🙏
May 2024 Bado nyimbo inanibariki sana kama Huwa unarudi kuangalia mara Kwa mara like tujuane❤
Who is with here 2024❤❤
I love this choir, the best even I don't understand their language❤❤❤
🎉
Nitayakumbuka matendo ya Bwana naam nitayakumbuka maajabu yake ya kale
Tunaozidi kuitazama nakupenda hii nyimbo October 2022❤️❤️🔥🙌
Nyimbo ziko vizuri
Amina Nazi nzuri sana mungu awalinde na wapandishe utukufu had I utukufu mbarikiwe sana
Tafadhali,mtu asitoe Huu wimbo mtandaoni.tuko hapa mpaka 2050😂😂😂.heehee,tunafurahia Upendo Wa Mungu wetu.mpaka atakaporudi bwana wetu yesu kristo.
Good sana namuelewa solo
Kwaya hii naipenda sana yani toka mwaka2013 ipo moyoni mwangu,,ah
Nawapenda kwa uimbaji wao na miondoko yao ,Mungu awape Neema na Rehema.
Nani aliye juu yake Bwana Mungu? Matendo yake Mungu ni ya ajabu sana tutukuzeni Mungu Sisi mataifa yote duniani 🎹🎤🎸🙌🙌
Hakika hz nyimbo mlikuwa mnajua Asee so siri enzi hizo nina miaka 13 nazsikia nafeel good🎉🎉🎉
Sjawahi kuchoka kusikiliza hizi nyimbo niwe na furaha au majozi nasikilizaga san. Mbarikiwe mnooo
Huu wimbo nakupenda sana..mbarikiwe sanaa wanakwaya
wimbo huu unatafakarisha xana,ee Mungu tumche Mungu kuliko kuabudu wanasiasa wanaopenda kutukuzwa utafikiri wanaweza hata kuumba hata sisimizi
Jamani sisimizi kweli watu wajitolee kabisa
nyimbo inapondwa kama najana bwana abarikiwe sana
Wimbo umenibariki sana roho mtakatifu awaangaze zaidi mzidi kumtumikia yeye peke yake.amina
Wimbo bora kabisa kuwahi kuusikia masikioni pangu, japo sio muumini wa J/ pili but Congratulations guys
A I C chang'ombe nyimbo zenu zinanibalik sana mungu awepamoja nanyi
tunawatakia uimbaji mwema aic chang"ombe nyimbo zenu huwa zinanibariki xn
Nawapenda Sana kwaya hii sina kwaya inayogusa moyo wangu na kuuhuisha Kila ninaposikiliza nyimbo zao kama nyie Mungu azidi kuwapa mafuta yake
Mungu awape afya njema mzidi kutuinjilisha,mmbarikiwe
Napenda,May God bless you abundantly 🙏
Yesu akutunze Mamy Diana!! nakupenda Mungu awabariki jamani
Mmesahau kuimba hii jumapili kanisani nawaomba siku moja muipige live
Usipime izinyimbo sio pw ataazichuji tunabarikiwa mno amen
Mpigien mungu kelele za shangwe nawapenda mno
Best song,!! You're the best choir !! I love you so much
Ukiskia mungu hushuka kupitia sifa amini jmn mungu awabariki waimbaji jamn (Muandishi Wa nyimbo, BT producer) nimebarikiwa sana sana
2023 nitayakumbuka matendo ya Bwana siku zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu hawabariki aicc Chang'ombe
Amen wapendwa, Kilamara ninabarikiwa na Nyimbo zenu.
Haki husikia kubarikiwa sana kwa nyimbo zenu,mungu azidi kubariki sauti zenu,ili muinue jina lake,Amina.
Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.
Mungu ni tajiri stay blessed haichuji hii song
Mungu awainue kwa viwango vya juu sana,nabarikiwa na kazi zetu-
Mungu awatumie vile apendavyo mbarikiwe sana
God bless you
Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song .
I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .
Nyimbo nzuri kama hizi kila ukisikiliza unaona ukuu wa Mungu.
Asante chang'ombe. Nipo Dubai napenda nyimbo zenu. Lakini mwananchi mwenzenu
Thumbs up for your soloists her smooth and sweet voice is fantastic and good to hear!
Wilson Oduor Omondi nawapenda waimbaji ,Mungu awabariki sana
🎉
Rb
Barikiweni Kwa Kwa kueneza injili,nyimbo zenu za baraka kweli
chan'gombe kwaya mpo vizur kwa uimbaji.mungu awabariki sana
Waimbaji wenzangu mubarikiwe ni kambale kirovi pa butembo
Nitayakumbuka matendo ya bwana na nitayakumbuka maajab yake ya kale
Hatari sana kweli chang'ombe mungu awatie nguvu zaidi
Za kale ni dhahabu
Mungu awaweke miaka elfu watumishi ujumbe unapenya kumoyo
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏
Mko vizuri sana nawapenda sana wapendwa wa mungu mungu awabaliki
Kila nikiskiza huu wimbo nazidi kubarkiwa, mungu azidi kuwatia nguvu na baraka tele.
Nyimbo safi Mungu na aendeleze hii taranta
Bado nikohapa 2024 amen and amen 🙏🏿
The Best song from the best choir !!! Congratulations!!!!!
Isaiah 40:12-13
[12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance?
[13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?
Very powerful word
Wabarikiwe kwa burudani iliyo njema
The soloist has a beautiful voice
am blessed for such a beautiful voice and instumentors..God increase you.
Tunaosikiliza 2025hii hit song tujuane hapa
Mungu wetu atukuzwe, sifa na utukufu zimwendee yeye. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mi nawakubali saaana hawaimbaji niseme mungu awabalika sana
well organised song...this is wonderful.
Nawapenda waimbaji wote walio imba wimbo huu matendo yake mungu kweli ni ya ajabu Sana
Napenda sana kusikiriza uwa nabarikiwa sana eti
"Mpigieni Mungu kelele za shangwe"🥰👏
Amina
Mbarikiwe sana
Nabarikiwa sana na nyimbo hii hasa sololist
mbarikiwe mnaimba na kupiga vyombo kwa ustadi sana
Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno
Napenda nyimbo zenu kweli kweli
CVC my best choir ever to date 2022,you are blessed.
Ila sijui mmeenda wapi tena sasa siwasiikii tena
Nabarikiwa sana na nyimbo hii,mpigieni Mungu kelele za shangwe!
This song never ages ....... absolutely banger
Jaman huyu mama ananibariki sanakwa saut yake nzur ubarikiwe sana fanya kaz ya bwana mwisho utalipwa
yaani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza, barikiwa Sana waimbaji
What a soloist. What a choir. Mbarikiwe zaidi daima
Mimi hapa. Nasikiliza kutoka mjini DOHA-QATAR
Nabarikiwa na huu wimbo
Nawapenda natamani niimbe pamoja na nyinyi nampenda huyu dada hana makuu
Uwa nawakubali sana. BRAVO
Kwa kweli nyimbo zao zinapendeza na kuvutia sana.Hongera wana Wana AIC
Am always humbled by your bible based inspired songs.... ever since. God bless
For sure they are singing biblical based music choir
only in Him that we can be blessed let the name of God be praised
Nyimbo nzuri sana, I wish mrecord tena hizi video katika HD quality. Bado mnaweza mkarecord hizi nyimbo na zikauza sana. Sijawahi kuchoka kuzisikiliza. Mbarikiwe sana!
mnanipaga raha sana watumishi wa mungu mbarukiwe sana
I like nyimbo zenu sana barikiweni sana wapedwa
This song is a blessing..mbarikiweni
Fred M amina nawapenda xna
Good songs and video, Utukufu kwa Yehova Mungu Mkuu.
Desingo Jackson mungu awemoja nanyi
Mbalikiwe sana