AIC CHANG'OMBE -JINSI ZILIVYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2025

Комментарии • 443

  • @LazaroKajole-bt4nm
    @LazaroKajole-bt4nm Год назад +56

    Tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane 🔥🔥🔥

  • @DavidWambua-g7p
    @DavidWambua-g7p 10 месяцев назад +11

    It sounds as if it was sang yesterday. & We are in 2024 D k from Kenya baraka Tele kwenu ❤

  • @medardsilas5869
    @medardsilas5869 Год назад +36

    Jamn 2023 nani anazikubarii hz ngoma,,nipe like zangu

  • @JacksonLazaro-mm3qs
    @JacksonLazaro-mm3qs Год назад +9

    Ni 2023 kwaya hii ni nzur sana ina dumu Zaid na zaidi rudini tena ❤❤❤

  • @kelvinamani3957
    @kelvinamani3957 Год назад +9

    2024 nakutukuza Mungu

  • @titustito1189
    @titustito1189 7 месяцев назад +3

    Ndungu zetu kutoka Tanzania wamebarikiwa na kipawa cha utuzi wa nyimbo za injili.utukufu kwa bwana 🎉
    Nabarikiwa sana kusikiza huu wimbo

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 2 месяца назад +1

    ❤❤❤kwa bora sana upande wangu mm😢😢 2025 tuombean afya njema na tmkmbke mwenyenz mungu kla wakat

  • @pascalkalembo6494
    @pascalkalembo6494 7 месяцев назад +3

    Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .

  • @annamushi7357
    @annamushi7357 2 года назад +2

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu zote. Mungu awabariki sana kwa kweli. Naomba muweke download

  • @mauriceonyango5703
    @mauriceonyango5703 4 года назад +25

    Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.

  • @sharonketer2085
    @sharonketer2085 2 месяца назад +3

    Wenye tunaskiliza 2025january still my best song💯💯

  • @KennedyOmoding
    @KennedyOmoding Год назад +4

    Tanzanias you are wonderful people in all respects, I love your choirs and the presentation by your handsome and beautiful brethren

  • @ZephaniahSisulu
    @ZephaniahSisulu 13 дней назад

    Huu na mojawapo ya nyimbo ambazo hunituliza nafsi yangu kwelikweli. Jina la Bwana na lipewe sifa milele na kila kiumbe lililo hai!

  • @saifakyando7746
    @saifakyando7746 Год назад +3

    Nampenda huyu dada kwa kweli anasauti nzuri org nakupenda sana ,sijui jina anaitwa nani

  • @CalorineMkondya
    @CalorineMkondya 11 месяцев назад +3

    Mungu amewapa kitu cha tofauti Sana hawa wandugu Yesu awabariki Sana wazidi kukua na kuongezeka kiroho na kimwili❤❤❤

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 2 года назад +4

    Africa nzima hakuna kwaya iliyoimba kwa kufata maandiko ya Biblia kama hii.hii ni kwaya jamani🙏🙏🙏

  • @Triplek_online
    @Triplek_online 10 месяцев назад +11

    May 2024 Bado nyimbo inanibariki sana kama Huwa unarudi kuangalia mara Kwa mara like tujuane❤

  • @JonesKipkemboi-x2n
    @JonesKipkemboi-x2n 9 месяцев назад +8

    Who is with here 2024❤❤

  • @dominicphiri6112
    @dominicphiri6112 2 года назад +7

    I love this choir, the best even I don't understand their language❤❤❤

  • @RoseRose-mw4nv
    @RoseRose-mw4nv 2 года назад +2

    Nitayakumbuka matendo ya Bwana naam nitayakumbuka maajabu yake ya kale

  • @gloryjaphet5826
    @gloryjaphet5826 2 года назад +3

    Tunaozidi kuitazama nakupenda hii nyimbo October 2022❤️❤️🔥🙌

  • @nehemiashekiondo7287
    @nehemiashekiondo7287 4 года назад

    Amina Nazi nzuri sana mungu awalinde na wapandishe utukufu had I utukufu mbarikiwe sana

  • @MauriceOnyuroh
    @MauriceOnyuroh 9 дней назад

    Tafadhali,mtu asitoe Huu wimbo mtandaoni.tuko hapa mpaka 2050😂😂😂.heehee,tunafurahia Upendo Wa Mungu wetu.mpaka atakaporudi bwana wetu yesu kristo.

  • @mussauwezo8674
    @mussauwezo8674 3 года назад +2

    Good sana namuelewa solo

  • @musatiba2056
    @musatiba2056 3 года назад +3

    Kwaya hii naipenda sana yani toka mwaka2013 ipo moyoni mwangu,,ah

  • @duncanmponda4645
    @duncanmponda4645 Год назад +1

    Nawapenda kwa uimbaji wao na miondoko yao ,Mungu awape Neema na Rehema.

  • @annykalumbi2887
    @annykalumbi2887 3 месяца назад

    Nani aliye juu yake Bwana Mungu? Matendo yake Mungu ni ya ajabu sana tutukuzeni Mungu Sisi mataifa yote duniani 🎹🎤🎸🙌🙌

  • @Wilfred096_Official
    @Wilfred096_Official 2 месяца назад

    Hakika hz nyimbo mlikuwa mnajua Asee so siri enzi hizo nina miaka 13 nazsikia nafeel good🎉🎉🎉

  • @mwajumaemmanuel9359
    @mwajumaemmanuel9359 2 года назад

    Sjawahi kuchoka kusikiliza hizi nyimbo niwe na furaha au majozi nasikilizaga san. Mbarikiwe mnooo

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 2 года назад +1

    Huu wimbo nakupenda sana..mbarikiwe sanaa wanakwaya

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 4 года назад

    wimbo huu unatafakarisha xana,ee Mungu tumche Mungu kuliko kuabudu wanasiasa wanaopenda kutukuzwa utafikiri wanaweza hata kuumba hata sisimizi

  • @kitoileena4710
    @kitoileena4710 4 года назад

    Wimbo umenibariki sana roho mtakatifu awaangaze zaidi mzidi kumtumikia yeye peke yake.amina

  • @bukelebefergusonjr6196
    @bukelebefergusonjr6196 5 лет назад +4

    Wimbo bora kabisa kuwahi kuusikia masikioni pangu, japo sio muumini wa J/ pili but Congratulations guys

  • @fedambogela7325
    @fedambogela7325 6 лет назад +2

    A I C chang'ombe nyimbo zenu zinanibalik sana mungu awepamoja nanyi

  • @erickmevaashi6167
    @erickmevaashi6167 5 лет назад +2

    tunawatakia uimbaji mwema aic chang"ombe nyimbo zenu huwa zinanibariki xn

  • @helenasamwel9160
    @helenasamwel9160 3 года назад

    Nawapenda Sana kwaya hii sina kwaya inayogusa moyo wangu na kuuhuisha Kila ninaposikiliza nyimbo zao kama nyie Mungu azidi kuwapa mafuta yake

  • @thadeonkamu9840
    @thadeonkamu9840 5 месяцев назад

    Mungu awape afya njema mzidi kutuinjilisha,mmbarikiwe

  • @HenryApoko
    @HenryApoko Месяц назад

    Napenda,May God bless you abundantly 🙏

  • @Aksamaduma
    @Aksamaduma 5 лет назад +2

    Yesu akutunze Mamy Diana!! nakupenda Mungu awabariki jamani

  • @boazkitela6960
    @boazkitela6960 Год назад +1

    Mmesahau kuimba hii jumapili kanisani nawaomba siku moja muipige live

  • @Victoriaruta
    @Victoriaruta 10 месяцев назад +1

    Usipime izinyimbo sio pw ataazichuji tunabarikiwa mno amen

  • @annapatson7760
    @annapatson7760 5 лет назад +4

    Mpigien mungu kelele za shangwe nawapenda mno

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 Год назад +1

    Best song,!! You're the best choir !! I love you so much

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 5 лет назад

    Ukiskia mungu hushuka kupitia sifa amini jmn mungu awabariki waimbaji jamn (Muandishi Wa nyimbo, BT producer) nimebarikiwa sana sana

  • @jacklinemnaa4194
    @jacklinemnaa4194 Год назад +1

    2023 nitayakumbuka matendo ya Bwana siku zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @BenjaminiMwaiteleke
    @BenjaminiMwaiteleke 4 месяца назад

    Mungu hawabariki aicc Chang'ombe

  • @Jobatambwe
    @Jobatambwe 5 месяцев назад

    Amen wapendwa, Kilamara ninabarikiwa na Nyimbo zenu.

  • @anthonymngola9595
    @anthonymngola9595 7 лет назад

    Haki husikia kubarikiwa sana kwa nyimbo zenu,mungu azidi kubariki sauti zenu,ili muinue jina lake,Amina.

  • @mauriceonyuro6189
    @mauriceonyuro6189 Год назад

    Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.

  • @JustuseMalembo
    @JustuseMalembo 5 месяцев назад

    Mungu ni tajiri stay blessed haichuji hii song

  • @joyceamsi6396
    @joyceamsi6396 8 лет назад +15

    Mungu awainue kwa viwango vya juu sana,nabarikiwa na kazi zetu-

  • @nancywaithera8794
    @nancywaithera8794 3 года назад +2

    Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song .
    I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .

  • @paulmazanza2949
    @paulmazanza2949 2 года назад +1

    Nyimbo nzuri kama hizi kila ukisikiliza unaona ukuu wa Mungu.

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 5 лет назад +4

    Asante chang'ombe. Nipo Dubai napenda nyimbo zenu. Lakini mwananchi mwenzenu

  • @wilsonoduoromondi8459
    @wilsonoduoromondi8459 6 лет назад +16

    Thumbs up for your soloists her smooth and sweet voice is fantastic and good to hear!

  • @anthonyadeya6653
    @anthonyadeya6653 2 года назад

    Barikiweni Kwa Kwa kueneza injili,nyimbo zenu za baraka kweli

  • @emanuelielias8988
    @emanuelielias8988 6 лет назад +1

    chan'gombe kwaya mpo vizur kwa uimbaji.mungu awabariki sana

  • @KambaleKirovi
    @KambaleKirovi 8 месяцев назад

    Waimbaji wenzangu mubarikiwe ni kambale kirovi pa butembo

  • @abigailjoctan4830
    @abigailjoctan4830 4 года назад +2

    Nitayakumbuka matendo ya bwana na nitayakumbuka maajab yake ya kale

  • @anordprotas1976
    @anordprotas1976 6 лет назад

    Hatari sana kweli chang'ombe mungu awatie nguvu zaidi

  • @EDISONTIBENDELANA
    @EDISONTIBENDELANA Год назад

    Za kale ni dhahabu
    Mungu awaweke miaka elfu watumishi ujumbe unapenya kumoyo

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 2 года назад

    Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏

  • @vestnagodfrey7317
    @vestnagodfrey7317 2 года назад

    Mko vizuri sana nawapenda sana wapendwa wa mungu mungu awabaliki

  • @ramsoaminanakwakopiajoseph7679
    @ramsoaminanakwakopiajoseph7679 4 года назад

    Kila nikiskiza huu wimbo nazidi kubarkiwa, mungu azidi kuwatia nguvu na baraka tele.

  • @jaspermarube4717
    @jaspermarube4717 4 года назад

    Nyimbo safi Mungu na aendeleze hii taranta

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 8 месяцев назад

    Bado nikohapa 2024 amen and amen 🙏🏿

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 7 месяцев назад

    The Best song from the best choir !!! Congratulations!!!!!

  • @titustito1189
    @titustito1189 7 месяцев назад

    Isaiah 40:12-13
    [12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance?
    [13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?

  • @hildaandrew3657
    @hildaandrew3657 2 месяца назад

    Wabarikiwe kwa burudani iliyo njema

  • @Maureen_Mutheu
    @Maureen_Mutheu Год назад +3

    The soloist has a beautiful voice

  • @hakymderrick587
    @hakymderrick587 12 лет назад +7

    am blessed for such a beautiful voice and instumentors..God increase you.

  • @RachaelEmmanuel-ky5ri
    @RachaelEmmanuel-ky5ri 2 месяца назад

    Tunaosikiliza 2025hii hit song tujuane hapa

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 6 лет назад +4

    Mungu wetu atukuzwe, sifa na utukufu zimwendee yeye. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @paullucas2961
    @paullucas2961 5 лет назад

    Mi nawakubali saaana hawaimbaji niseme mungu awabalika sana

  • @denisrotich8832
    @denisrotich8832 5 лет назад +7

    well organised song...this is wonderful.

  • @teklamahenge5212
    @teklamahenge5212 5 лет назад +5

    Nawapenda waimbaji wote walio imba wimbo huu matendo yake mungu kweli ni ya ajabu Sana

  • @dianasabato8338
    @dianasabato8338 2 месяца назад

    Napenda sana kusikiriza uwa nabarikiwa sana eti

  • @fatnarashid3204
    @fatnarashid3204 4 года назад +2

    "Mpigieni Mungu kelele za shangwe"🥰👏

  • @williamomary3203
    @williamomary3203 5 лет назад

    Amina
    Mbarikiwe sana
    Nabarikiwa sana na nyimbo hii hasa sololist

  • @privatuskitungutu8710
    @privatuskitungutu8710 10 лет назад +10

    mbarikiwe mnaimba na kupiga vyombo kwa ustadi sana

    • @edwardkasubi1332
      @edwardkasubi1332 4 года назад

      Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno

  • @jacintambithe4792
    @jacintambithe4792 4 месяца назад

    Napenda nyimbo zenu kweli kweli

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 2 года назад +1

    CVC my best choir ever to date 2022,you are blessed.

  • @shidamasau8686
    @shidamasau8686 2 года назад +3

    Ila sijui mmeenda wapi tena sasa siwasiikii tena

  • @angelsulumo3493
    @angelsulumo3493 4 года назад

    Nabarikiwa sana na nyimbo hii,mpigieni Mungu kelele za shangwe!

  • @masalugusessa3702
    @masalugusessa3702 6 месяцев назад

    This song never ages ....... absolutely banger

  • @NyamiziJohn
    @NyamiziJohn 10 месяцев назад

    Jaman huyu mama ananibariki sanakwa saut yake nzur ubarikiwe sana fanya kaz ya bwana mwisho utalipwa

  • @teddybadatu1780
    @teddybadatu1780 7 лет назад +1

    yaani huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza, barikiwa Sana waimbaji

  • @munuve100
    @munuve100 5 лет назад +1

    What a soloist. What a choir. Mbarikiwe zaidi daima

  • @FidelisKerabu
    @FidelisKerabu 11 месяцев назад

    Mimi hapa. Nasikiliza kutoka mjini DOHA-QATAR

  • @MeshackPoisho
    @MeshackPoisho 5 месяцев назад

    Nabarikiwa na huu wimbo

  • @shabannewdman4650
    @shabannewdman4650 2 года назад

    Nawapenda natamani niimbe pamoja na nyinyi nampenda huyu dada hana makuu

  • @Kan-q6l1n
    @Kan-q6l1n 3 года назад

    Uwa nawakubali sana. BRAVO

  • @andrewochieng3954
    @andrewochieng3954 8 лет назад +1

    Kwa kweli nyimbo zao zinapendeza na kuvutia sana.Hongera wana Wana AIC

  • @adrianjumba6755
    @adrianjumba6755 11 лет назад +5

    Am always humbled by your bible based inspired songs.... ever since. God bless

    • @bennedictskawa9592
      @bennedictskawa9592 5 лет назад +1

      For sure they are singing biblical based music choir

  • @stephenngugi7741
    @stephenngugi7741 9 лет назад +3

    only in Him that we can be blessed let the name of God be praised

  • @Deniswai
    @Deniswai 6 лет назад +2

    Nyimbo nzuri sana, I wish mrecord tena hizi video katika HD quality. Bado mnaweza mkarecord hizi nyimbo na zikauza sana. Sijawahi kuchoka kuzisikiliza. Mbarikiwe sana!

  • @marthamaduhu1028
    @marthamaduhu1028 6 лет назад

    mnanipaga raha sana watumishi wa mungu mbarukiwe sana

  • @SamsonKieti-j8d
    @SamsonKieti-j8d Год назад

    I like nyimbo zenu sana barikiweni sana wapedwa

  • @fredkioko5385
    @fredkioko5385 9 лет назад +2

    This song is a blessing..mbarikiweni

  • @desingojackson5365
    @desingojackson5365 8 лет назад +6

    Good songs and video, Utukufu kwa Yehova Mungu Mkuu.